2 Kings 14:23

Yeroboamu Wa Pili Mfalme Wa Israeli

23 aKatika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu mwana wa Yehoashi mfalme wa Israeli alianza kutawala huko Samaria, naye akatawala kwa miaka arobaini na mmoja.
Copyright information for SwhNEN